Fresh Jumbe Mkuu

Welcome to Fresh Jumbe`s Official Website

Guestbook

Post a Comment

Oops

  • Oops, you forgot something.
Already a member? Sign In

32 Comments

Reply fred mosha
06:47 AM on September 02, 2010
Yes Fresh, unatisha kwa kazi zako ila nakumbuka wakati tunafanya kipindi cha Redio hapo Redio Tumaini ulisema kwamba utakuwa unarejea nchini mara kwa mara Je lini utarejea tena?
Reply Rashid Zahor
06:05 AM on August 13, 2010
Nadhani unanikumbuka bradha. Mimi ni mwandishi wa habari wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo. Wakati wewe ulipokuwa uking'ara kimuziki, nilikuwa mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi. Kwa kushirikiana na bosi wake, Hemed Kimwanga wakati ule, nakumbuka niliandika makala nyingio juu yako, ikiwemo ile baada ya wewe kurudi kwa mara ya kwanza nchini ukitokea Japan. Ulinisimulia habari nyingi za safari yako kimuziki, kuanzia ulipokwenda Kenya ukiwa na mpiga drums Chipembele Saidi, rafiki yako huyo alivyoshindwa maisha na kuamua kurejea Bongo na jinsi wewe ulivyobahatika kwenda Japan. Nakutakia kila la heri bradha katika maisha yako kimuziki.
Reply daijunmama
06:52 AM on June 20, 2010
Wow, you went to Tanzania this year!! How was everyone? I like the Nakupenda song with Keisha!
Reply Kingsstudio Disco Theque
05:31 PM on June 04, 2010
Hi Brother Fresh,sisi ndio wadau wa muziki wako.Machachache nayoweza kusema ni kuwa miziki yako ipo katika kiwango cha juu sana.Endeleza kipaji chako pia tumia ubalozi wako kimataifa kuendeleza tamaduni yetu.Vilevile kuna wanamziki wengi wa changa wenye vipaji. Upatapo nafasi usiwe mbinafsi jaribu kuangalia jinsi gani ya kuwapa tafu ili nao watoke maana sanaa ni kurithishana hujui la kesho.Emmanuel-London
Reply Chris Katembo
06:16 AM on February 23, 2010
Kweli muziki ni safari ndefu sana, nikimkumbuka Fresh wa Pamela wa DDC, hadi huyu Fresh wa African Express, bonge la saluti kaka!
Reply Sabry Juma
05:58 AM on January 14, 2010
Zanzibar Car Hire Limited inakukaribisha Zanzibar ili uje ujifurahie na kuwatumbuiza Wazanzibari kwa miondoko yako ya kuvutia karibu Zanzibar 2010 hakika muziki wako unatugonga nyoyo zetu.
Reply Mama Eric
06:48 PM on November 20, 2009
Keep good work kwa kutangaza utamaduni wa kitanzania.
Reply khalil ibrahim
10:01 AM on October 06, 2009
a,aleykum kaka,
naukubali sana mziki wako, najua wewe ni mwenyeji wa mkoa wa tanga, naomba utunge nyimbo ya kuusifia mkoa wa tanga kiutalii ili iweze kusaidia mkoa wa tanga kupata watalii wengi kutoka huko japan, kuna mapango ya amboni, vijiji vizuri kama sakura, kipumbwi. sina mengi kaka
Reply ABOUBAKARY MLAWA
04:45 AM on September 19, 2009
Hongera mzee wa Buyuni.
Tatizo cd za nyimbo zako hazipatikani huku. bongoPia kama unaweza ebu zirudie zile za zamani na ukatoa cd ili tununue.kama zile masooud amekuwa jambazi
Reply Very nice site!
07:51 PM on September 17, 2009
Very nice site!
Reply Mohammed Hammie
04:12 AM on August 17, 2009
Hongera sana kaka kwa kazi zako nzuri- lakini zaidi huku tanga wapenzi wako wa muziki wanakuhitaji sana uwape raha. Tuwe pamoja kupitia Blog ya Tanga ambayo ni www.ankomo.blogspot.com (VIJIMAMBO VYA TANGA)
Reply evelyne
12:18 PM on July 29, 2009
hi when will you come and perform in amsterdam\the netherlands??
Reply RICHARD KILONZO
01:01 AM on July 24, 2009
Hello Fresh Jumbe,
How are you today.
Your website and music is fabulous. I requested you to exchange the link. You have never comments.
Advise!
Richard Reward Kilonzo
www.world-tours-safaris.com
Reply Ali Masoud
10:51 AM on July 23, 2009
Wangu mdundo sio mbaya na uunatupa nguvu na tunazidi kukusikiliza ujumbe wako -Aly Italy
Reply Lister Elia
04:41 AM on April 17, 2009
"Superb "..,keep it up bro!.

Lister Elia
Reply Godson Kileo (Mwenyekiti Mstaafu)
04:53 AM on April 06, 2009
Mkuu Fresh sema!!
Reply Benedict Kaguo
07:27 AM on March 23, 2009
Kaka uko juu,nimepata kusikia kibao chako hiki cha Maisha ya Mjini kimetulia sana ndugu zako wa Tanga wanakulilia sana uje upige show walau Tanga Hotel,

Mie ni Mwandishi wa habari na Mtangazaji wa Radio Mwambao Fm ya Tanga.

kila la kheri.
Reply Jane
12:24 PM on January 03, 2009
Sasa Fresh!vipi mbona umenitupa hivo saaaana!
Ni jane bwana, haaaapy new year, nyimbo zako ni tamu sana kwa masikio yangu, hongeraaa!!
Reply erick wambia
01:55 PM on December 08, 2008
hali vipi mjomba,nimefurahi sana kusoma historia yako kupitia BC.mimi ni shabiki wako mkuu miaka nenda miaka rudi.tungependa sana kukukaribisha uswisi.jee huna mipango ya kutimua vumbi huku?hautajuta kamwe maana tuko wengi humu.all the best keep it rolling
Reply Andrea Miyata
08:28 PM on October 05, 2008
Hi Fresh! Just wanted to say "Hi!" again, and keep rocking with that beautiful voice! Hope to meet you again in person sometime.....
Andrea (in Tamano, Okayama-ken)
Reply Gerald Godwin Ruhere
11:33 AM on September 08, 2008
Hi there!,

Jumbe ni kiboko, yaani mie na wengine wengi tunakuaminia. Unajua, nyimbo zimetulia kakake. Big up sana.Uifika bongo usiache fika Mwanza ndg yangu!
Reply hassan mwallim
05:41 AM on July 16, 2008
yap always mimi ninapenda nyimbo zako haswa nikikukumbuka zamani kule majengo tanga ambapo ndio nyumbani nilikuwa nikikuona so nitazipata wapi dvd au cd zako hapa london
Reply rashid
10:19 AM on January 08, 2008
Jumbe, the music is great! Where can we buy the dvd or cd man?
Mimi mtoto wa tanga usagara secondary school 1978 sasa hivi nipo New Zealand lakini ipo kampuni ya music omani nafikiri (family) watependa kukukaribisha.
Reply Dai/Jun no Mama
06:09 AM on January 01, 2008
Hope 2008 is a great year for you!
Reply Kamala
11:27 PM on November 14, 2007
Nyimo zako zinasisimua!Nimejaribu kununua DVD yako ya "PENZI NI KIKOHOZI", kupitia kwa wakala wako na nimeambiwa kwamba your webpage cannot be found!!. Though I've succeded to parchase the CD. Kindly let me know how i can parchase the DVD. Thankx; Kamala!