Fresh Jumbe

Welcome to Fresh Jumbe's Official Website

Guestbook

Post a Comment

Oops!

Oops, you forgot something.

Oops!

The words you entered did not match the given text. Please try again.

Already a member? Sign In

40 Comments

Reply Yoshiyuki
10:38 AM on October 24, 2011 
Nice talking with you on Nagano Shinkansen. I hope to enjoy your live show soon.
Reply lucy19
03:43 AM on September 20, 2011 
It is delightful
Reply Ramadhani O.Lutambi
06:39 AM on August 03, 2011 
Habari ndugu yangu. Pole na kazi. Pride FM inapenda sana kukufanyia interview huko kwa kutumia Skype. Pia unaweza sikiliza Pride FM online.
http://208.43.81.168:8874/stream?.wma Kipindi cha Afro Pride kuanzia saa kumi na mbili na nusu mpaka saa tatu usiku kinapiga sana mimbo yako.
Tunashukuru sana kwa jingles zako ambazo ulituandalia. Tafadhali naomba tukuinterview.
Kila la heri na kazi njema
Reply vugObtaisttus
08:12 PM on June 15, 2011 
Asante kwa habari ya kuvutia
Reply freshjumbe
12:45 AM on June 08, 2011 
Thanx Rajab

Fresh.
Reply Rajab
01:42 PM on March 30, 2011 
I do respect this Jumbe's work i beleive he is having speed and accurance Whenever he is at work God is with him all along Jumbe more speed please
Reply CypeWeate
10:28 AM on January 13, 2011 
Thank you very much!
Reply ISDOR NKINDI
04:58 AM on September 27, 2010 
Fresh unatia moyo sana ndugu yangu kaza buti komaa unatujengea heshma ughaibuni.........
Reply fred mosha
06:47 AM on September 02, 2010 
Yes Fresh, unatisha kwa kazi zako ila nakumbuka wakati tunafanya kipindi cha Redio hapo Redio Tumaini ulisema kwamba utakuwa unarejea nchini mara kwa mara Je lini utarejea tena?
Reply Rashid Zahor
06:05 AM on August 13, 2010 
Nadhani unanikumbuka bradha. Mimi ni mwandishi wa habari wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo. Wakati wewe ulipokuwa uking'ara kimuziki, nilikuwa mwandishi wa gazeti la Mfanyakazi. Kwa kushirikiana na bosi wake, Hemed Kimwanga wakati ule, nakumbuka niliandika makala nyingio juu yako, ikiwemo ile baada ya wewe kurudi kwa mara ya kwanza nchini ukitokea Japan. Ulinisimulia habari nyingi za safari yako kimuziki, kuanzia ulipokwenda Kenya ukiwa na mpiga drums Chipembele Saidi, rafiki yako huyo alivyoshindwa maisha na kuamua kurejea Bongo na jinsi wewe ulivyobahatika kwenda Japan. Nakutakia kila la heri bradha katika maisha yako kimuziki.
Reply daijunmama
06:52 AM on June 20, 2010 
Wow, you went to Tanzania this year!! How was everyone? I like the Nakupenda song with Keisha!
Reply Kingsstudio Disco Theque
05:31 PM on June 04, 2010 
Hi Brother Fresh,sisi ndio wadau wa muziki wako.Machachache nayoweza kusema ni kuwa miziki yako ipo katika kiwango cha juu sana.Endeleza kipaji chako pia tumia ubalozi wako kimataifa kuendeleza tamaduni yetu.Vilevile kuna wanamziki wengi wa changa wenye vipaji. Upatapo nafasi usiwe mbinafsi jaribu kuangalia jinsi gani ya kuwapa tafu ili nao watoke maana sanaa ni kurithishana hujui la kesho.Emmanuel-London
Reply Chris Katembo
06:16 AM on February 23, 2010 
Kweli muziki ni safari ndefu sana, nikimkumbuka Fresh wa Pamela wa DDC, hadi huyu Fresh wa African Express, bonge la saluti kaka!
Reply Sabry Juma
05:58 AM on January 14, 2010 
Zanzibar Car Hire Limited inakukaribisha Zanzibar ili uje ujifurahie na kuwatumbuiza Wazanzibari kwa miondoko yako ya kuvutia karibu Zanzibar 2010 hakika muziki wako unatugonga nyoyo zetu.
Reply Mama Eric
06:48 PM on November 20, 2009 
Keep good work kwa kutangaza utamaduni wa kitanzania.
Reply khalil ibrahim
10:01 AM on October 06, 2009 
a,aleykum kaka,
naukubali sana mziki wako, najua wewe ni mwenyeji wa mkoa wa tanga, naomba utunge nyimbo ya kuusifia mkoa wa tanga kiutalii ili iweze kusaidia mkoa wa tanga kupata watalii wengi kutoka huko japan, kuna mapango ya amboni, vijiji vizuri kama sakura, kipumbwi. sina mengi kaka
Reply ABOUBAKARY MLAWA
04:45 AM on September 19, 2009 
Hongera mzee wa Buyuni.
Tatizo cd za nyimbo zako hazipatikani huku. bongoPia kama unaweza ebu zirudie zile za zamani na ukatoa cd ili tununue.kama zile masooud amekuwa jambazi
Reply Very nice site!
07:51 PM on September 17, 2009 
Very nice site!
Reply Mohammed Hammie
04:12 AM on August 17, 2009 
Hongera sana kaka kwa kazi zako nzuri- lakini zaidi huku tanga wapenzi wako wa muziki wanakuhitaji sana uwape raha. Tuwe pamoja kupitia Blog ya Tanga ambayo ni www.ankomo.blogspot.com (VIJIMAMBO VYA TANGA)
Reply evelyne
12:18 PM on July 29, 2009 
hi when will you come and perform in amsterdam\the netherlands??
Reply RICHARD KILONZO
01:01 AM on July 24, 2009 
Hello Fresh Jumbe,
How are you today.
Your website and music is fabulous. I requested you to exchange the link. You have never comments.
Advise!
Richard Reward Kilonzo
www.world-tours-safaris.com
Reply Ali Masoud
10:51 AM on July 23, 2009 
Wangu mdundo sio mbaya na uunatupa nguvu na tunazidi kukusikiliza ujumbe wako -Aly Italy
Reply Lister Elia
04:41 AM on April 17, 2009 
"Superb "..,keep it up bro!.

Lister Elia
Reply Godson Kileo (Mwenyekiti Mstaafu)
04:53 AM on April 06, 2009 
Mkuu Fresh sema!!
Reply Benedict Kaguo
07:27 AM on March 23, 2009 
Kaka uko juu,nimepata kusikia kibao chako hiki cha Maisha ya Mjini kimetulia sana ndugu zako wa Tanga wanakulilia sana uje upige show walau Tanga Hotel,

Mie ni Mwandishi wa habari na Mtangazaji wa Radio Mwambao Fm ya Tanga.

kila la kheri.

Upcoming Events

Friday, Feb 24 at 3:00 PM - 4:00 PM
Saturday, Feb 25 at 3:00 PM - 4:30 PM
Saturday, Mar 31 at 9:00 PM - Sunday, Apr 1 12:00 AM
Tuesday, May 1 at 3:00 PM - Friday, May 25 4:00 PM

Video Theatre

612 views - 0 comments
557 views - 2 comments
547 views - 0 comments

Facebook Like Button